TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA
Piga simu Number 0713 246084

Saturday, November 29, 2014

Na Mpelo Kapama

Hii ilikua pale Mpelo Kapama na kundi lake walipofanya live project ndani ya Tuners Production. Kulikua na akina Amani Kapama, Bomby Johnson, Daniel Mbepera na wengine wengi. Album mpya ya Mpelo Kapama. Kaa tayari.




Thursday, August 14, 2014

Gazuko na Mwasabwite

                                                       
                                                              Gazuko na Mwasabwite

Ni ujio mpya wa Gazuko Junior au Preacher Gazuko ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake unaoitwa Acha kulia ambao umeingia katika tuzo za Nyimbo za Injili Africa akishindanishwa na waimbaji kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

Sasa Preacher Gazuko anakuja na wimbo mpya uitwao Ombi Langu ambao amemshirikisha mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili aitwae Edson Mwasabwite ambae anatamba na wimbo uitwao Ni kwa Neema na Rehema.

Wimbo huu (Ombi Langu) umerekodiwa ndani ya studio bora za Tuners Production na siku ya Jumamosi tarehe 16/08/2014 wimbo huu utaanza kusikika rasmi ndani ya vituo mbalimbali vya redio hapa nchini Tanzania pamoja na nje ya nchi..


                                            Edson Mwasabwite na Producer Edwin Mrope


Endelea kumpigia kura Gazuko kupitia http://www.africagospelawards.com/ ili Tanzania iibuke na tuzo kupitia Gazuko...

                                                     
                                                                     Gazuko

Friday, August 1, 2014

Multi Talented Kid

                                                           Jonathan Shemsanga

In Tanzania we have a lot of young kids blessed with gifts and talents from God. Jonathan Shemsanga is only 15 years old and he has shown a great passion for music. He can sing very well, he can play several music instuments like Keyboard, Bass Guitar, Drums and even Lead Guitar.



Tuners Production saw his talents and decided to work with him making sure he records his first album.
Starting from the bottom we have already recorded one song and soon we will start recording the second one. Stay tuned.


Thursday, July 31, 2014

Music Instruments for sale

                                                          Mixer (Yamaha PM 3000)




                                                          Keyboard (Yamaha PSR 9000)


Music Instruments FOR SALE. Mixer au Mixing Board aina ya Yamaha PM 3000 pamoja na kinanda aina ya Yamaha PSR 9000 vinauzwa... Piga simu namba 0713246084 kwa maelezo zaidi....

Wednesday, July 30, 2014



Tuners Production is welcoming you to record, learn music and experience best quality production. In Kiswahili we say "karibuni watu wote." Our studio is located at Mikocheni, Dar-es-Salaam near Shoppers Plaza. You can like our page on Facebook, Tuners Production, you can also call us on these numbers 0713246084 or 0716316857 or you can send us an e-mail  tunersproduction@gmail.com.

Tuesday, July 29, 2014


Edwin Mrope

He is a Singer, Producer, Songwriter, Music teacher etc. Tuners Production welcomes everyone of you who wants to get high quality Production. Don't hesitate to call Edwin on his number +255 713 246084. You will get to know many things about him and his works at Tuners Production.


Down here is a video of Edwin Mrope making beats at the Studio.



Monday, July 28, 2014

Dunstan Baji
He is a Producer, Singer, Songwriter and Music Teacher. He is now in Tanga where Tuners Production Company has open a new branch. For those who are in Tanga and need to work with us, you can call him through his number 0716316857. Don't forget to like our page on facebook, Tuners Production.