TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA
TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA
Piga simu Number 0713 246084
Thursday, August 14, 2014
Gazuko na Mwasabwite
Gazuko na Mwasabwite
Ni ujio mpya wa Gazuko Junior au Preacher Gazuko ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake unaoitwa Acha kulia ambao umeingia katika tuzo za Nyimbo za Injili Africa akishindanishwa na waimbaji kutoka nchi mbalimbali za Afrika.
Sasa Preacher Gazuko anakuja na wimbo mpya uitwao Ombi Langu ambao amemshirikisha mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili aitwae Edson Mwasabwite ambae anatamba na wimbo uitwao Ni kwa Neema na Rehema.
Wimbo huu (Ombi Langu) umerekodiwa ndani ya studio bora za Tuners Production na siku ya Jumamosi tarehe 16/08/2014 wimbo huu utaanza kusikika rasmi ndani ya vituo mbalimbali vya redio hapa nchini Tanzania pamoja na nje ya nchi..
Edson Mwasabwite na Producer Edwin Mrope
Endelea kumpigia kura Gazuko kupitia http://www.africagospelawards.com/ ili Tanzania iibuke na tuzo kupitia Gazuko...
Gazuko
Friday, August 1, 2014
Multi Talented Kid
Jonathan Shemsanga
In Tanzania we have a lot of young kids blessed with gifts and talents from God. Jonathan Shemsanga is only 15 years old and he has shown a great passion for music. He can sing very well, he can play several music instuments like Keyboard, Bass Guitar, Drums and even Lead Guitar.
Tuners Production saw his talents and decided to work with him making sure he records his first album.
Starting from the bottom we have already recorded one song and soon we will start recording the second one. Stay tuned.
In Tanzania we have a lot of young kids blessed with gifts and talents from God. Jonathan Shemsanga is only 15 years old and he has shown a great passion for music. He can sing very well, he can play several music instuments like Keyboard, Bass Guitar, Drums and even Lead Guitar.
Starting from the bottom we have already recorded one song and soon we will start recording the second one. Stay tuned.
Subscribe to:
Posts (Atom)